karibu kituo cha nishati ngarenanyuki

Tuesday, February 8, 2011

KITUO CHA NISHATI


Mafundi wote wa umemejua, ambao wanafanya kazi pamoja na Kituo cha Nishati cha Jamii, wamepata mafunzo ya kutosha, na wana uzoefu mkbubwa wa kiufundi.

Mhudumu wa kituo anapatikana kituoni kila siku za jumatatu hadi jumamosi kuanzia saa 3:00 asubuhi hadi saa 11: 00 jioni.
Kwa mawasiliano zaidi kuhusu umemejua piga za simu  kwa namba zifuatazo: (contact)
MRADI WA NISHATI
MBADALA (BEST RAY)
Mradi huu umefadhiliwa na Kamisheni Ya Jumuia Ya Ulaya (NI programu ya 9 ya nishati ya Jumuia ya Ulaya kwa Tanzania) na untekelezwa na Istituto Oikos. picha zaidi:bonyeza